PAPAYA TANZANIA





Tunauza miche ya papai (Malkia F1). Hii ni mipapai ya kisasa toka Taiwan.
Mipapai hii uweka matunda ikiwa na urefu usiozidi mita moja toka ardhini.
Kila mpapai ubeba matunda yasiyopungua 85, mpaka 110. Mapapai haya nyama yake ni nyekundu na ni matamu sana. Mapapai haya yanauwezo wa kukaa ndani baada ya kuvunwa kwa wiki mbili bila kuoza na katika mti wake yanaweza kudumu kwa miezi 3.
Haya ni mapinduzi makubwa katika kilimo cha mipapai.
Mapapai haya uanza kuvunwa yakiwa na umri kati ya miezi 6 - 8, na uendelea kutoa matunda mfululizo bila kukoma kwa miaka 5.
Karibu katika kilimo chenye manufaa makubwa na chenye uwezo wa kubadiri maisha yako.

Mche moja ni 5000/=

Tunapatikana sanya juu, Kilimanjaro
kwa watu wa moshi au arusha tuna leta ulipo na pia kukushauri.
Tuwasiliane 0752972727.
formal.agro@gmail.com

Comments

  1. Am in Kenya. In migori county. Am intending to plant at least 1000 Malkia pawpaw.would you kindly advise and if possible supply me with the seedlings?

    ReplyDelete
    Replies
    1. We can supply to you as many as you want please lets contact Email:mosesanney@gmail.com
      Whatsup:+255752972727

      Delete
  2. Quite impressive and worthwhile!

    ReplyDelete
  3. Hello Formal Investments, Am a new Papaya farmer in Eastern Uganda and would like to have some of the seeds advertised in your site: Malkia F1 Papaya variety from Taiwan. Let me know the implications of having the seeds paid and delivered into Eastern Uganda.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hello we deliver throug bus, we have 1g package which contain 70/80 seeds and also all prcedures of growing malkia f1 hybrid, our price is Tsh 30,000 per package which is almost 14$

      Delete
  4. Halo,I'm Helena Julio from Ecuador,I want to talk good about Le_Meridian Funding Service on this topic.Le_Meridian Funding Service gives me financial support when all bank in my city turned down my request to grant me a loan of 500,000.00 USD, I tried all i could to get a loan from my banks here in Ecuador but they all turned me down because my credit was low but with god grace I came to know about Le_Meridian so I decided to give a try to apply for the loan. with God willing they grant me  loan of 500,000.00 USD the loan request that my banks here in Ecuador has turned me down for, it was really awesome doing business with them and my business is going well now. Here is Le_Meridian Funding Investment Email/WhatsApp Contact if you wish to apply loan from them.Email:lfdsloans@lemeridianfds.com / lfdsloans@outlook.comWhatsApp Contact:+1-989-394-3740.

    ReplyDelete

Post a Comment